Ukweli & KASHA – Silaha Lyrics

Silaha Lyrics By Ukweli & KASHA

Niwe vipi
Nishatubu, nishasulubiwa Imebidi nihesabu subira Imezidi, najitolea najikwaa

Oh niwe vipi
Niwe mtupu, niwe bila Imebidi niwe mkavu kila kila Imezidi, najitolea najikwaa

Hasira hasara
Niwe mpole
Niwe yaani kama mi nina mabawa Astafirughla
Ya ni’ na usipopigana Utajipata we nd’o una jeraha

Hasira hasara Hasira ni silaha

Tiki tiki bomu Mawingu radi na homu Na sina hata ngao Maisha ina maovu Mishale tu na makovu Ugomvi ndo makao

Kusema ukweli Amani ilienda na meli

Hasira hasara
Niwe mpole,
Niwe yaani kama mi nina mabawa Astafirughla
Ya ni’ na usipopigana Utajipata we nd’o una jeraha

Hasira hasara Hasira ni silaha